Msomi wa Algeria
IQNA-Profesa mmoja wa chuo kikuu kutoka Algeria amesema kuwa hoja za Qur'ani Tukufu alizotumia Bibi Fatimah Zahra (SA) katika kutetea misingi ya haki na uadilifu ni kielelezo cha vitendo ambacho Waislamu wote wanapaswa kukifuata.
Habari ID: 3481652 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/12
IQNA-Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar katika mkoa wa Aswan, Misri, kimewatunuku zawadi na heshima maalumu dada watatu Wamisri waliokamilisha kuhifadhi Qur'ani Tukufu kikamilifu.
Habari ID: 3481651 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/12
IQNA – Washindi wa juu wa Mashindano ya 33 ya Qur'ani Tukufu ya Sultan Qaboos nchini Oman wametangazwa rasmi.
Habari ID: 3481648 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/12
IQNA – Afisa wa Wizara ya Utamaduni na Mwongozo wa Kiislamu Iran amesisitiza nafasi muhimu ya wanawake katika Maonyesho ya Kimataifa ya Qur’ani ambayo hufanyika Tehran kila mwaka.
Habari ID: 3481645 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/11
IQNA – Hafla maalumu ya usomaji wa Qur’ani Tukufu imefanyika wiki hii katika haram tukufu ya Imamu Ali (AS) mjini Najaf, Iraq.
Habari ID: 3481644 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/11
IQNA – Katika mashindano ya kwanza ya kimataifa ya kuhifadhi Qur’ani kwa vipofu nchini Indonesia, nakalah 300 za Qur’ani ya kidijitali kwa mfumo wa nukta nundu (Braille) zilisambazwa kwa washiriki wenye uoni hafifu au ulemavu wa macho.
Habari ID: 3481643 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/10
IQNA – Baraza Kuu la Masuala ya Kiislamu la Misri limeandaa maonyesho maalumu sambamba na Mashindano ya 32 ya Kimataifa ya Qur’ani yanayofanyika nchini humo.
Habari ID: 3481642 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/10
IQNA – Licha ya vizuizi vya utawala katili wa Israel na ukosefu wa vifaa, Wapalestina Gaza bado wana hamu ya kujifunza na kuhifadhi Qur’ani Tukufu, na wanashiriki katika vikao vya Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3481641 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/10
IQNA – Leo, licha ya kuwepo kwa mamia ya majukwaa ya kielimu na ya vyombo vya habari, urithi wa Qur’ani wa Ahlul-Bayt (AS) bado haujulikani kwa Waislamu wengi duniani, alisema Sheikh Khairuddin Ali al-Hadi, mwanazuoni mashuhuri kutoka Iraq.
Habari ID: 3481639 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/10
Istighfar Katika Qur’ani Tukufu / 3
IQNA – Katika Hadithi, Imam Ali (AS) amebainisha hakika ya kuomba msamaha na vigezo vya Istighfar (kuomba maghfirah).
Habari ID: 3481638 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/09
IQNA – Kufuatia kuongezeka kwa vitendo vya ujambazi na vurugu, Serikali ya Jimbo la Kano nchini Nigeria imeandaa kikao cha dua maalum mwishoni mwa wiki, ikiwakusanya Maqari au wasomaji wa Qur’ani Tukufu wapatao 4,444 kuomba msaada wa Mwenyezi Mungu kwa ajili ya amani na usalama katika jimbo lote na nchi zima kwa ujumla.
Habari ID: 3481636 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/09
IQNA – Katika vipindi vipya vya shindano la vipaji vya Qur’ani nchini Misri linaloitwa “Dawlat al-Tilawa” , washiriki walionyesha uwezo wao wa kusoma na kuhifadhi aya za Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3481634 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/09
IQNA – Sheikh Ahmed Mansour ni qari mashuhuri wa Qur’ani kutoka Misri anayehudumu katika kamati ya majaji wa mashindano ya 32 ya kimataifa ya Qur’ani yanayofanyika nchini humo.
Habari ID: 3481631 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/08
IQNA – Msichana Muirani ambaye amekamilisha kuhifadhi Qur'ani yote ameshika nafasi ya kwanza katika mashindano ya Qur'an kwa walio na ulemavu wa macho katika ulimwengu wa Kiislamu.
Habari ID: 3481630 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/08
IQNA – Toleo la tisa la Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani na Utenzi wa Kidini la Port Said linatarajiwa kuanza mwishoni mwa Januari 2026 likihusisha ushiriki wa zaidi ya nchi 30, waandaaji wametangaza.
Habari ID: 3481628 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/08
IQNA – Jukwaa la kimataifa litakalojadili mkutano wa hivi karibuni wa tafiti za Qur’ani uliofanyika Los Angeles litafanyika mtandaoni leo na Jumamosi ijayo kupitia jukwaa la Zoom.
Habari ID: 3481626 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/07
IQNA – Mkutano wa Dunia wa Qur’ani 2025 umefunguliwa Jumapili jijini Kuala Lumpur kwa wito mkali kwa viongozi wa Kiislamu na jamii kugeuza thamani za Qur’ani kuwa mikakati halisi ya kijamii na kiuchumi, ukisisitiza nafasi ya Kitabu Kitukufu kama mwongozo wa vitendo katika utungaji sera na utatuzi wa changamoto za kisasa.
Habari ID: 3481625 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/07
IQNA – Msomaji wa Qur’ani kutoka Iran, ambaye pia ni afisa wa Haram ya Imam Hussein (Iraq) amekamilisha ziara yake nchini Bangladesh iliyolenga kuimarisha ushirikiano wa kimataifa wa Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3481624 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/07
Istighfar Katika Qur’ani Tukufu / 2
IQNA-Neno Istighfār (kuomba msamaha) limetokana na mzizi wa Kiarabu ghafara ambalo maana yake ni “kufunika” au “kufunika kwa ulinzi.” Kwa hivyo, istighfār katika Kiarabu ni kusihi na kuomba kufunikwa dhambi na makosa.
Habari ID: 3481623 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/06
IQNA – Milad Asheghi, mhifadhi kamili wa Qur’ani Tukufu na mwanafunzi wa mwaka wa mwisho wa udaktari kutoka Tabriz, Iran, amesema Qur’ani Tukufu imekuwa nguvu thabiti iliyomwongoza kupitia changamoto za masomo ya udaktari.
Habari ID: 3481622 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/06