iqna

IQNA

IQNA – Wizara ya Wakfu ya Misri imetangaza majina ya washiriki wa KiMisri waliokidhi masharti ya kushiriki katika mtihani maalum wa uteuzi, ili kuwachagua wawakilishi katika toleo la 32 la mashindano ya kimataifa ya Qur'an nchini humo, pamoja na tarehe ya mtihani huo.
Habari ID: 3480959    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/18

IQNA – Kampeni mpya ya kimataifa ya Qurani kwa jina “Fath” imezinduliwa kwa lengo la kuinua morali ya majeshi ya Kiislamu na kueneza maadili ya Qurani ndani ya jamii, hasa kufuatia mashambulizi ya hivi karibuni ya Israel dhidi ya Iran.
Habari ID: 3480957    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/17

IQNA – Taasisi ya Mfalme Abdulaziz nchini Saudi Arabia imechapisha kitabu kipya kwa lugha ya Kiarabu kinachofuatilia historia ya maendeleo ya zana zilizotumika kuandika Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3480955    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/16

IQNA – Baladi Omar, qari mashuhuri wa Qur’ani kutoka nchi ya Ivory Coast ya Afrika Magharibi, ameshiriki katika kampeni ya Qur’ani ya “Fath” kwa kusoma aya nne za mwanzo kutoka Surah al-Fath kwa tartili.
Habari ID: 3480950    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/15

IQNA – Toleo la 65 la Mashindano ya Kimataifa ya Usomaji na Kuhifadhi Qur’ani Malaysia (MTHQA) litazinduliwa tarehe 2 Agosti katika Kituo cha Biashara cha Dunia Kuala Lumpur (WTCKL).
Habari ID: 3480949    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/15

IQNA – Mafunzo ya Qur'ani ya asubuhi wakati wa kiangazi yanatarajiwa kufanyika katika vituo 14 vya Qur'ani kote nchini Qatar kuanzia Jumapili.
Habari ID: 3480947    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/15

IQNA – Wizara ya Awqaf ya Misri imetangaza kuzindua mashindano ya kwanza ya kitaifa ya mtandaoni ya kuhifadhi na kusoma Qur'ani Tukufu nchini humo.
Habari ID: 3480946    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/15

IQNA – Mpango wa kitaifa wa usomaji wa Qur’ani Tukufu umeanzishwa rasmi nchini Algeria, ukilenga kusambaza shughuli za Qur’ani katika misikiti mbalimbali ya Mkoa wa Mascara.
Habari ID: 3480943    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/14

IQNA – Hafla maalum imefanyika katika mji wa Karasu, ulioko kaskazini magharibi mwa Uturuki katika mkoa wa Sakarya, kuwaenzi wasichana 34 waliokamilisha kuhifadhi Qur’ani yote kwa moyo.
Habari ID: 3480942    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/14

IQNA – Semina maalum kuhusu "Vipengele vya Miujiza ya Kisayansi katika Qur’an Tukufu Kuhusiana na Upepo" inatarajiwa kufanyika leo katika Msikiti mkuu wa Al-Azhar, nchini Misri.
Habari ID: 3480941    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/14

IQNA – Zohreh Qorbani, mama mchanga kutoka Iran, asema kuwa kuhifadhi Qur’ani Tukufu kumemletea mpangilio, utulivu wa moyo, na uwazi wa kiroho katika maisha yake ya kila siku licha ya changamoto anazokumbana nazo.
Habari ID: 3480938    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/13

IQNA – Mashindano ya usomaji wa Qur’ani Tukufu kwa tarteel kwa watoto yamefanyika mjini Karbala, yakiandaliwa na Jumuiya ya Sayansi za Qur’ani ya Haram ya Hazrat Abbas (AS).
Habari ID: 3480935    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/13

Jamii ya Qur’ani Tukufu nchini Iran imejumuika katika Mahafali ya Qur’ani Tukufu iliyofanyika Alhamisi, tarehe 11 Julai, jijini Tehran, chini ya anuani “Kuelekea Ushindi”. Katika mkusanyiko huo, hadhirina waliwakumbuka na kuwaenzi mashahidi wa mapambano, na wakaahidi tena uaminifu wao kwa malengo matukufu ya makamanda waliouawa shahidi pamoja na mashujaa wa vita vya siku 12.
Habari ID: 3480929    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/12

IQNA – Mwanazuoni mmoja kutoka Iran ameelezea kuwa Surat al-Fajr katika Qur'an Tukufu ni sura iliyo na uhusiano wa karibu sana na urithi wa Imam Hussein (AS), akiitaja kuwa ni tafakuri ya kina kuhusu falsafa ya mapinduzi ya Karbala.
Habari ID: 3480918    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/09

Imam Hussein (AS) katika Qur'an /4
IQNA – Nusra ya Mwenyezi Mungu hujitokeza kwa namna mbalimbali kwa manabii wa Mwenyezi Mungu na waumini wa kweli.
Habari ID: 3480897    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/06

Imam Hussein (AS) katika Qur'an /3
IQNA – Imani juu ya Raj’a (kurejea duniani) katika mwamko wa Imam Hussein (AS) pamoja na masahaba wake waaminifu, hubeba baraka nyingi za kiroho na maadili.
Habari ID: 3480896    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/05

Imam Hussein (AS) katika Qur’an – Sehemu ya 2
IQNA – Dhulma aliyoipata Imam Hussein (AS) ni ya wazi na ya kina kiasi kwamba inaweza kuchukuliwa kuwa ni taswira halisi ya baadhi ya aya tukufu za Qur’ani.
Habari ID: 3480887    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/03

Imam Hussein (AS) katika Qur’ani Tukufu
IQNA – Baadhi ya aya za Qur’an Tukufu zinamhusu, Imam Hussein (AS), ambaye ni shakhsia adhimu na mtukufu katika Uislamu.
Habari ID: 3480878    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/01

IQNA – Toleo la tisa la mashindano ya "Kizazi cha Qur’ani" limehitimishwa mjini Ljubljana, likiwa limewakutanisha zaidi ya washiriki elfu moja kutoka maeneo mbalimbali ya Slovenia.
Habari ID: 3480873    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/30

IQNA – Hafla ya kila mwaka ya Idara ya Qur’an Tukufu na Sayansi Zake kwa ajili ya kuwaheshimu wanafunzi wa Qur’an imefanyika katika mji mkuu wa Qatar, Doha.
Habari ID: 3480870    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/29