IQNA – Mashindano ya Saba Ya Kitaifa la Kuhifadhi Qur’ani Tukufu nchini Ghana lilifanyika mwishoni mwa juma lililopita katika nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika.
Habari ID: 3482174 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/28
IQNA – Akikosoa kwa ukali misimamo ya qari wa Kuwait, Mishary Rashid al‑Afasi, katika kuhalalisha mashambulizi ya Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, msomaji wa Qur’ani kutoka Yemen ametoa wito wa kususiwa kwa al‑Afasi.
Habari ID: 3482173 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/28
IQNA – Hafla maalumu imefanyika katika mji wa Istanbul, Uturuki, kwa ajili ya kuwatunuku zaidi ya wahifadhi 300 wa Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3482168 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/27
IQNA – Kozi za mafundisho ya Qur’ani zimeanza tena nchini Lebanon kufuatia juhudi za Kituo cha Kimataifa cha Uenezi wa Qur’ani kinachohusishwa na Idara ya Mfawidhi wa Haram Tukufu ya Imamu Hussein (AS) huko Iraq. Kituo hicho kimetangaza kuwa kozi hizo zimeanza upya kupitia matawi yake nchini Lebanon pamoja na kituo cha Dar al-Qur’ani cha Imamu Ali (AS), baada ya mafanikio ya programu za Qur’ani katika vijiji na miji kadhaa ya Lebanon.
Habari ID: 3482167 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/27
IQNA- Kampeni ya kiroho ijulikanalo kama “Kuelekea Ushindi kwa Uongozi wa Mwenyezi Mungu(Wilayah)” limeandaliwa na IQNA kwa mnasaba wa kuchaguliwa kwa Kiongozi mpya wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei, pamoja na kiapo cha utii kilichotolewa kwake.
Habari ID: 3482166 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/26
IQNA – Sheikh Osama Karbalayi, msomaji wa kimataifa wa Qur’ani kutoka Iraq, amesisitiza kuwa misimamo ya qari wa Kuwait, Mishary Rashid Al‑Afasi, katika kuhalalisha uchokozi wa Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, inapingana na kiini cha mafundisho ya Mwenyezi Mungu.
Habari ID: 3482164 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/26
IQNA – Msomaji mashuhuri wa Ibtihal kutoka Misri na jaji wa mashindano ya Qur’ani ametangaza kuwa atatayarisha kasida yenye maudhui ya Qur’ani ili kukabiliana na mashambulizi ya yaliyofanywa na qari mmoja kutoka Kuwait dhidi ya Iran na mhimili wa muqawama.
Habari ID: 3482162 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/25
IQNA – Mwanazuoni mashuhuri wa sayansi za hisabati kutoka mji wa Yazd nchini Iran ametoa changamoto ya kielimu kwa lobi za Kizayuni.
Habari ID: 3482161 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/25
IQNA – Sheikh Hayatu Umar, mhadhiri wa masomo ya Kiislamu katika Chuo Kikuu cha Shirikisho cha Dutsin‑Ma (FUDMA) kilichopo Jimbo la Katsina nchini Nigeria, amewataka vijana na wanafunzi waweke kipaumbele katika kuhifadhi Qur’ani Tukufu, akisisitiza kuwa kufanya hivyo huminua mtu hadhi yake duniani na Akhera.
Habari ID: 3482159 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/22
IQNA – Kongamano la siku mbili linaendelea mjini Muscat, Oman, likilenga kuchunguza nafasi ya Qur’ani Tukufu katika maendeleo ya kifikra na kimaadili ya mwanadamu.
Habari ID: 3482157 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/21
IQNA – Msahafu au nakala ya Qur’ani, iliyondikwa kwa mkono nchini India katika karne ya 19, imepelekwa kwenye maonyesho ya Makumbusho ya Qur’ani Tukufu katika eneo la utamaduni la Hira katika mji mtakatifu wa Makka.
Habari ID: 3482156 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/21
IQNA – Baraza la Kimataifa la Miujiza ya Kisayansi katika Qur’ani Tukufu na Sunnah limezinduliwa mjini Kuala Lumpur, Malaysia, siku ya Jumapili.
Habari ID: 3482154 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/20
IQNA – Qari wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Mohsen Qassemi, alisoma aya za Surah Ar‑Ra‘ad katika duru ya mwisho ya toleo la tatu la Shindano la Kimataifa la Qur’ani Tukufu la Al‑Ameed lililofanyika nchini Iraq.
Habari ID: 3482151 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/19
IQNA – Zaidi ya nakala 6,600 za Qur’ani Tukufu na maandiko yanayohusiana nayo, zenye thamani ya zaidi ya RM378,000, zimekamatwa na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Malaysia katika operesheni ya miezi mitatu baada ya kubainika kuwa hazikukidhi viwango vya kidini au zilikuwa na makosa.
Habari ID: 3482149 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/18
IQNA – Mashindano ya kwanza ya kitaifa ya kuhifadhi Qur’ani kwa vijana wenye umri kati ya miaka 12 hadi 30 yameanza nchini Kosovo siku ya Ijumaa.
Habari ID: 3482148 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/18
IQNA – Katika juhudi za kuhakikisha kuwa wahifadhi wa Qur’ani Tukufu wanaendelea kuihifadhi kwa uthabiti wa muda mrefu, Msikiti wa Mtume SAW (Masjid an-Nabawi) umezindua programu mpya na makini ya muraja‘a kupitia idara ya halaqa za kuhifadhi Qur’ani.
Habari ID: 3482146 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/17
IQNA – Mwaka huu, kozi za kiangazi katika mkoa wa Hajjah zimepata usajili mkubwa usiokuwa wa kawaida, zikihusisha shule 1,482.
Habari ID: 3482144 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/16
Nchini Bangladesh
IQNA – Waziri wa Elimu wa Bangladesh, Ehsanul Haque Milon, amesema kuwa ingawa viwango vya kufaulu katika madrasah ni vya juu, elimu sahihi ya Qur’ani bado haijaimarika vya kutosha, jambo ambalo sasa limekuwa kikwazo katika ajira ya walimu wa masomo ya dini.
Habari ID: 3482143 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/16
IQNA – Mufti Mkuu wa Al-Quds na ardhi za Palestina ameonya kuhusu kusambazwa kwa nakala ya Qur’ani Tukufu yenye hitilafu ya uchapaji katika aya moja.
Habari ID: 3482137 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/12
IQNA – Jumla ya wanafunzi 48 wa Qatar waliokamilisha kuhifadhi Qur’ani Tukufu katika robo ya kwanza ya mwaka 2026 walienziwa na kutunukiwa zawadi siku ya Jumatano katika hafla iliyofanyika Doha.
Habari ID: 3482131 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/09