IQNA– Katika mwendelezo wa kuenzi utamaduni wa kuhifadhi Qur'ani Tukufu, matembezi makubwa ya wahifadhi wa Qur'ani yamefanyika katika mji wa Tifelt, Morocco, ili kusherehekea wahitimu waliofanikiwa kuhifadhi Qur'ani Tukufu kikamilifu. Tukio hilo la kiroho liliambatana na mahudhurio ya viongozi wa kidini, maafisa wa serikali, na wakazi wa mji huo, kama ilivyoripotiwa na Tifeltpress.
Habari ID: 3482525 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/07/22
IQNA – Katika mwendelezo wa kuimarisha utamaduni wa elimu ya Kiislamu, sherehe ya kipekee imefanyika katika mji mkuu wa Mauritania, Nouakchott, kwa ajili ya kuwapongeza wanafunzi 45 kutoka eneo la Amboud (M’Bout) ambao wamefanikiwa kuhifadhi Qur'an Tukufu kikamilifu.
Habari ID: 3482522 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/07/22
IQNA – Mashindano ya 18 ya kusoma na kuhifadhi Qur’ani Tukufu nchini Bosnia na Herzegovina yalihitimishwa katika hafla iliyofanyika katika mji mkuu, Sarajevo.
Habari ID: 3482517 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/07/21
IQNA – Mtaalamu na msomaji maarufu wa Qur’ani wa Iran amemuelezea Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, kama kielelezo cha maisha ya Qur’ani katika zama zetu za kisasa.
Habari ID: 3482513 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/07/20
IQNA – Katika Khitma ya Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, iliyofanyika katika Haramu Tukufu ya Imam Ridha (AS) huko Mashhad, Qari mashuhuri wa Iran, Ustadh Ahmad Abolqassemi, aliongoza usomaji wa aya za 64 hadi 71 za Surah An-Nisa pamoja na Surah Al-Fatiha.
Habari ID: 3482511 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/07/19
IQNA – Gavana wa Dakahlia, nchini Misri, amemtunuku nakala ya Qur’ani Tukufu Imam Ashour, mchezaji wa timu ya taifa ya Misri na klabu ya Al-Ahly, ikiwa ni ishara ya kutambua juhudi zake katika Kombe la Dunia la mwaka 2026.
Habari ID: 3482508 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/07/19
IQNA – Msururu wa usomaji wa Qur’ani wenye kuvutia ambao uliwapagawisha majaji na hadhira kwa pamoja umeshuhudiwa katika raundi za awali za msimu wa pili wa shindano la “Dawlet El-Tilawa” (Dola ya Usomaji) nchini Misri. Tukio hili linadhihirisha kipaji cha kipekee na juhudi za hali ya juu za washiriki kutoka sehemu mbalimbali za nchi hiyo katika kulihudumia Kitabu Kitukufu.
Habari ID: 3482503 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/07/18
IQNA – Katika kuamsha ari ya mapenzi ya Kitabu cha Mwenyezi Mungu wakati wa likizo ya kiangazi, Chuo cha Tahfidh cha “Little Memorizers” (Wahifadhi Wadogo) mjini Pristina, kinachofanya kazi chini ya usimamizi na usimamizi wa kiroho wa Msikiti Mkuu wa Kosovo, kimezindua rasmi programu yake maalum ya “Darsa za Kiangazi za Mwaka 2026.”
Habari ID: 3482492 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/07/15
IQNA – Shule mpya ya Qur’an imezinduliwa katika eneo la Myrza-Ake, katika mji wa Uzgen, Mkoa wa Osh, nchini Jamhuri ya Kyrgyzstan.
Habari ID: 3482490 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/07/15
IQNA – Chuo Kikuu cha Qur’ani na Shule ya Mafunzo ya Kidini cha Juu kimefunguliwa katika mji wa Rida, mkoani Bayda, nchini Yemen, Jumapili.
Habari ID: 3482487 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/07/14
IQNA – Makumbusho mapya katika Eneo la Kitamaduni la Hira jijini Makka yanawazamisha wageni katika bahari ya historia ya uandishi wa Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3482486 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/07/14
IQNA – Maktaba ya Alexandria imeandaa kongamano lililopewa anuani ya: “Usomaji wa Qur’ani nchini Misri; Utafiti wa Ukuzaji na Kuporomoka Kwake,” ikiwa ni sehemu ya programu ya kiutamaduni katika Maonesho ya Vitabu ya Kimataifa ya maktaba hiyo.
Habari ID: 3482485 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/07/14
IQNA – Kundi la waumini wanaotekeleza Hija ndogo ya Umrah lilitembelea siku ya Jumamosi Kituo cha Mfalme Fahd cha Uchapishaji wa Qur’ani Tukufu mjini Madina.
Habari ID: 3482477 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/07/13
IQNA – Kituo cha Qur’ani cha Al-Nour kilichopo kaskazini mwa Ukanda wa Gaza kinaendelea na shughuli zake za kutoa elimu ya Kiislamu licha ya changamoto chungu nzima zinazotokana na vita vya kikatili.
Habari ID: 3482476 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/07/12
IQNA – Familia za Algeria zimeanza kuajiri walimu wa Qur’ani (wanaume na wanawake) ili kuwafundisha watoto wao nyumbani.
Habari ID: 3482471 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/07/11
IQNA – Hafla maalumu ya Qur’ani inayolenga kuenzi hadhi ya juu ya mashahidi, kuendeleza utamaduni wa Qur’ani Tukufu na Ahlul Bayt (AS), pamoja na kuzindua rasmi programu za Qur’ani za Arbaeen, imefanyika Jumatano katika Haram Takatifu ya Imam Ridha (AS) kwa ushiriki wa maqari, mahafidhi, wanaharakati wa Qur’ani na wapenda dini.
Habari ID: 3482427 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/07/01
IQNA – Kisomo cha aya za Qur’an kilichofanywa na timu ya taifa ya Morocco kabla ya mikwaju ya penalti pamoja na sijda zao za shukrani baada ya ushindi dhidi ya Uholanzi katika hatua ya 32 Bora kimeenea kwa kasi katika mitandao ya kijamii duniani.
Habari ID: 3482425 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/07/01
IQNA – Kwa ndugu zetu Waislamu wenye ulemavu wa macho katika maeneo ya kusini mwa Kyrgyzstan, kizuizi sasa kimeondoka; Kitabu Kitukufu cha Allah kiko mikononi mwao, tayari kwa kusomwa na kutafakariwa.
Habari ID: 3482422 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/06/30
IQNA – Wageni wanaotembelea Wilaya ya Utamaduni ya Hira huko Makkah wanapata fursa ya kushuhudia kito cha kielimu: Msahafu uliochapishwa mwaka 1906, uliopambwa kwa tafsiri na maelezo ya pembeni yenye ustadi wa hali ya juu.
Habari ID: 3482420 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/06/30
IQNA – Wanafunzi wa shule nchini Jordan wanapata fursa ya kutumia vyema likizo zao za majira ya kiangazi kwa kuhifadhi Qur’ani Tukufu na kujifunza maadili ya Kiislamu.
Habari ID: 3482418 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/06/29